Star Tv

Wanawake wanaoishi vijijini huko Jamhumuri ya Kidemokrasi ya Kongo, hawana haki ya urithi wa mali pamoja na ardhi iliyoachwa na wazazi wao au waume zao. Na hii inatokana na mila na desturi zao zinazomtambua mwanaume kama mrithi pekee wa Ardhi.

Wanaharakati wa haki za wanawake nchini humo wako katika jitihada za kuwaelimisha jamii kuhusiana na madhara ya mila hizo. Wanaweke wanaoishi vijijini katika jimbo la Congo central hawana haki ya urithi mali au ardhi ya wazazi au waume zao.

Mila ya jimbo hilo inapinga kabisa kumpa mke urathi. Alphonsine Ponga ni mwanaharakati wa kutetea haki za akina mama katika kijiji cha Mbaza Ngungu. Yeye pia alikuwa mwathirika wa utamaduni huu.

Ponga ameeleza kwamba sheria ya Congo haina ubaguzi katika suala la urithi. Lakini katika hali kawaida , ni mila ndo imeendelea kukithiri zaidi ya sharia ya nchi hasa katika maeneo ya vijijini.

 

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.