Star Tv

Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz amesema hawawezi kumruhusu Putin kushinda vita.

Scholz ametoa kauli hiyo wakati akitoa hotuba ya nusu saa yenye maswali na majibu mafupi katika siku ya mwisho ya Kongamano la Kiuchumi la Dunia huko Davos.

Amelaani uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine, lakini hajataja ukosoaji unaotolewa dhidi ya serikali yake kwa kuchelewa kuiunga mkono Ukraine kwa msaada ambao Rais Volodymyr Zelensky aliuomba juu ya kupatiwa silaha.

"Hatuwezi kumruhusu Putin kushinda vita hivi," anasema, na kuongeza "hakutakuwa na amani iliyoamriwa".

Katika hotuba yake, amesema Ujerumani inakamilisha kile kinachojulikana kama "Zeitenwende" au hatua ya kubadilisha sera ya kigeni, kwa kusambaza silaha kwenye eneo la vita kwa mara ya kwanza.

#ChanzoBBC

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.