Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-Un amesema nchi yake inahitaji kujiandaa kwa mazungumzo na makabiliano na Marekani na haswa kujiandaa kikamilifu kwa mapambano.
Add a commentWaziri Mkuu mpya wa Israel Naftali Bennett ameapa kuliunganisha taifa hilo ambalo linalezwa kufadhaishwa na chaguzi nne katika kipindi cha miaka miwili ya kukwama kisiasa.
Add a commentWazazi wawili wa watoto wa shule waliotekwa nyara katika eneo la Tegina katika jimbo la kati la Nigeria la Niger wamekufa kutokana na mshtuko, vimesema vyombo vya habari.
Add a commentShirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limepinga vikali sheria mpya iliyopitishwa na bunge la Denmark ambayo itairuhusu nchi hiyo kushughulikia madai ya wakimbizi wanaoomba hifadhi nje ya bara la Ulaya.
Add a commentGavana wa jimbo la Florida nchini Marekani ambaye ni wa chama cha republican Ron DeSantis amesaini sheria ya kuzuia michezo ya wasichana waliobadili jinsia ambapo amesema kwamba ni muhimu maadili ya mashindano ya shule za umma yakalindwa.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.