Star Tv

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-Un amesema nchi yake inahitaji kujiandaa kwa mazungumzo na makabiliano na Marekani na haswa kujiandaa kikamilifu kwa mapambano.

Add a comment

Waziri Mkuu mpya wa Israel Naftali Bennett ameapa kuliunganisha taifa hilo ambalo linalezwa kufadhaishwa na chaguzi nne katika kipindi cha miaka miwili ya kukwama kisiasa.

Add a comment

Wazazi wawili wa watoto wa shule waliotekwa nyara katika eneo la Tegina katika jimbo la kati la Nigeria la Niger wamekufa kutokana na mshtuko, vimesema vyombo vya habari.

Add a comment

Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limepinga vikali sheria mpya iliyopitishwa na bunge la Denmark ambayo itairuhusu nchi hiyo kushughulikia madai ya wakimbizi wanaoomba hifadhi nje ya bara la Ulaya.

Add a comment

Gavana wa jimbo la Florida nchini Marekani ambaye ni wa chama cha republican Ron DeSantis amesaini sheria ya kuzuia michezo ya wasichana waliobadili jinsia ambapo amesema kwamba ni muhimu maadili ya mashindano ya shule za umma yakalindwa.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.