Japan imezuia matumizi ya chanjo ya Moderna ya Covid-19 baada ya chembechembe zisizo za kawaida kupatikana ndani ya chupa moja ya chanjo hiyo.
Add a commentKundi la Wanamgambo wa Taliban limewazuia Wamarekani wanaoingia uwanja wa ndege wakati ndege ya Marekani inaondoka Afghanistan, ambapo bado kulikuwa na raia wa Marekani na Waafghani waliokuwa wakitarajia kuondoka na walikuwa wakijaribu kuingia kwenye uwanja wa ndege, maafisa wameeleza.
Add a commentMashambulizi ya Marekani ya ndege zisizo na rubani katika mji mkuu Kabul umezuia shambulio jingine baya la kujitoa uhanga katika uwanja wa ndege, maafisa wa jeshi la Marekani wamesema.
Add a commentNew Zealand imeripoti kile inachoamini kuwa kifo cha kwanza kinachohusisha chanjo ya corona aina ya Pfizer.
Add a commentRais wa Halmashauri ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen amesema umoja huo haulitambui kundi la Taliban na wala hautoshiriki mazungumzo ya kisiasa na kundi hilo.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.