Star Tv

Japan imezuia matumizi ya chanjo ya Moderna ya Covid-19 baada ya chembechembe zisizo za kawaida kupatikana ndani ya chupa moja ya chanjo hiyo.

Add a comment

Kundi la Wanamgambo wa Taliban limewazuia Wamarekani wanaoingia uwanja wa ndege wakati ndege ya Marekani inaondoka Afghanistan, ambapo bado kulikuwa na raia wa Marekani na Waafghani waliokuwa wakitarajia kuondoka na walikuwa wakijaribu kuingia kwenye uwanja wa ndege, maafisa wameeleza.

Add a comment

Mashambulizi ya Marekani ya ndege zisizo na rubani katika mji mkuu Kabul umezuia shambulio jingine baya la kujitoa uhanga katika uwanja wa ndege, maafisa wa jeshi la Marekani wamesema.

Add a comment

New Zealand imeripoti kile inachoamini kuwa kifo cha kwanza kinachohusisha chanjo ya corona aina ya Pfizer.

Add a comment

Rais wa Halmashauri ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen amesema umoja huo haulitambui kundi la Taliban na wala hautoshiriki mazungumzo ya kisiasa na kundi hilo.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.