Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Jumatatu alitangaza baraza jipya la Mawaziri katika hatua ambayo inaimarisha udhibiti wa Rais Felix Tshisekedi serikalini.
Add a commentWasafiri wanaoelekea Ireland kutoka Kenya watalazimika kujitenga kwa wiki mbili baada ya kuwasili katika nchi hiyo ya bara Ulaya.
Add a commentJeshi la Nigeria limesema wanajeshi kumi na moja wameuawa katika shambulio lilifanyika katika jimbo la kati la Benue wakati wa operesheni ya kawaida.
Add a commentMizinga 41 ya heshima ilipigwa leo Aprili 10 nchini Uingereza, rasi ya Gibraltar na kwenye meli zote za jeshi la nchi hiyo kumkumbuka mume wa Malkia Elizabeth wa Pili, Mwanamfalme Philip aliyeaga dunia jana Ijumaa.
Add a commentMwanamfalme Philip ambaye ni mume wa Malkia Elizabeth II wa Uingereza amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 99, Kasri la Buckingham limetangaza.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.