Star Tv

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Jumatatu alitangaza baraza jipya la Mawaziri katika hatua ambayo inaimarisha udhibiti wa Rais Felix Tshisekedi serikalini.

Add a comment

Wasafiri wanaoelekea Ireland kutoka Kenya watalazimika kujitenga kwa wiki mbili baada ya kuwasili katika nchi hiyo ya bara Ulaya.

Add a comment

Jeshi la Nigeria limesema wanajeshi kumi na moja wameuawa katika shambulio lilifanyika katika jimbo la kati la Benue wakati wa operesheni ya kawaida.

Add a comment

Mizinga 41 ya heshima ilipigwa leo Aprili 10 nchini Uingereza, rasi ya Gibraltar na kwenye meli zote za jeshi la nchi hiyo kumkumbuka mume wa Malkia Elizabeth wa Pili, Mwanamfalme Philip aliyeaga dunia jana Ijumaa.

Add a comment

Mwanamfalme Philip ambaye ni mume wa Malkia Elizabeth II wa Uingereza amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 99, Kasri la Buckingham limetangaza.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.