Star Tv

Mji Mkuu wa Somalia Mogadishu, Jumatatu hii umeripotiwa kuwa shwari baada ya mapigano kati ya wanaounga mkono upinzani na vikosi vya usalama vya serikali, Redio binafsi ya Risala imeripoti.

Add a comment

Waziri wa ulinzi wa Uingereza Ben Wallace amesema si kweli kwamba waziri mkuu Boris Johnson alisema hatajali kuona mrundikano wa maelfu ya miili ya watu na kamwe hataagiza awamu ya tatu ya kufunga shughuli za umma nchini humo.

Add a comment

Mfanyakazi wa hospitali nchini Italia ameshutumiwa kwa kuacha kazi huku akiwa anaendelea kupokea malipo kamili ya mshahara kwa miaka 15, ripoti vyombo vya habari nchini humo vimeripoti.

Add a comment

Wizara ya mambo ya ndani ya Iraq imesema watu 82 wamekufa huku wengine 110 wakijeruhiwa katika mkasa mkubwa wa moto katika vyumba vya wagonjwa mahututi katika hospitali moja mjini Baghdad inayowahudumia wagonjwa wa virusi vya corona.

Add a comment

Kampuni yenye makao yake nchini Lesotho imeruhusiwa kuuza mazao ya bangi kwa ajili ya matumizi ya dawa kwa Muungano wa Ulaya.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.