Star Tv

Mwili wa Rais wa zamani wa Kenya wa tatu Emilio Mwai Kibaki umewasili katika majengo ya Bunge kwa ajili ya kuagwa. Hii leo mwili huo utaagwa na Rais Uhuru Kenyatta, Naibu Rais William Ruto, mawaziri, mabalozi, wakuu wa jeshi na viongozi wengine wakuu wa serikali.

Kesho Jumanne na Jumatano itakuwa zamu ya wananchi wa kawaida kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Hayati Kibaki ndani ya majengo ya bunge la taifa.

Misa ya kitaifa ya kumuaga Hayati Kibaki itafanywa siku ya Ijumaa tarehe 29, Kisha atazikwa Jumamosi Aprili 30 nyumbani kwake huko Othaya Nyeri.

Latest News

Waziri Mkuu Akagua Visima Vya Dharura Dar Es Salaam
10 Nov 2022 13:31 - Kisali Shombe

 WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua visima vya dharura vinavyosafishwa, kufufuliwa na kuunganishwa katika mfumo wa us [ ... ]

Waziri Wa Afya Aagiza Udhibiti Magonjwa Ya Mlipuko
09 Nov 2022 14:15 - Kisali Shombe

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza vituo vyote vya kutolea huduma za afya vya binafsi na serikali kuweka kituo maalum  [ ... ]

Vifo vitokanavyo na Utoaji wa Mimba usio salama, Kudhibitiwa
09 Nov 2022 13:21 - Kisali Shombe

Mpango wa idara ya afya wa kutoa elimu ya afya ya uzazi na matumizi ya uzazi wa mpango unatajwa kusaidia kupunguza mimba [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.