Tanzania imeadhimisha miaka 60 ya uhuru tangu ilipojinasua kutoka katika utawala wa kikoloni.
Add a commentWaziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima ametatua kero sugu iliyodumu muda mrefu inayowahusu ndugu wanaouguza wagonjwa katika Hospitali ya Rufaa Mkoa Amana Jijini Dar es Salaam.
Add a commentRead more: GWAJIMA ATATUA KERO SUGU ILIYOKUWEPO HOSPITALI YA AMANA.
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa amesema Serikali itatenda haki katika mchakato wa kuwapata washindi wa tuzo za filamu kwa mwaka 2021.
Add a commentRead more: SERIKALI KUTENDA HAKI KUPATA WASHINDI TUZO YA FILAMU 2021.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima ametatua kero sugu iliyodumu muda mrefu inayowahusu ndugu wanaouguza wagonjwa katika Hospitali ya Rufaa Mkoa Amana Jijini Dar es Salaam.
Add a commentRead more: GWAJIMA ATATUA KERO SUGU ILIYOKUWEPO HOSPITALI YA AMANA.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Novemba 29, 2021 ametembelea kiwanda cha kuchenjua madini cha ‘Giant Elution’ kilichopo Chunya Mkoani Mbeya.
Add a commentRead more: “WATANZANIA WEKEZENI KATIKA SEKTA YA MADINI”-Waziri Mkuu.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima ameitaka jamii kutoa ushirikiano wa kutosha kwa wadau wote wanaosaidia kupambana na ukatili dhidi ya watoto likiwemo Jeshi la Polisi, Mahakama na Taasisi zinazojihusisha na uboreshaji wa huduma za Madawati ya Jinsia kwa kudhibiti ukatili dhidi ya watoto wadogo.
Add a commentRead more: “TATIZO LA UKATILI LINAATHIRI MAENDELEO YA TAIFA”-Dkt. Gwajima
Serikali imesema inatekeleza mradi wa ujenzi wa majengo mapya ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida ambapo tayari imeshatoa shilingi Bilioni 5.9 kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa jengo kubwa la ghorofa tatu.
Add a commentRead more: SHIL. BIL. 5.9 KUENDELEZA UJENZI MAJENGO YA HOSPITALI YA RUFAA SINGIDA.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amesema kuwa Tanzania imejiandaa kukabiliana na tishio la wimbi la nne ambalo limegundulika kuwepo kwa anuwai mpya ya kirusi kinachotambulika kwa jina la OMICRON.
Add a commentRead more: DKT. GWAJIMA ATOA TAHADHARI YA KIRUSI KIPYA CHA CORONA.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameziagiza wizara zote zenye dhamana ya ukuzaji ajira kuhakikisha zinaandaa programu na mikakati bora ya ukuzaji ajira ikiwa ni pamoja na kuhamasisha wadau wote nchini washiriki katika utekelezaji wake ili kukabiliana na changamoto za ukosefu wa ajira.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.