Star Tv

Siku moja baada ya aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai kutangaza kujiuzulu, Bunge limetangaza kusitisha shughuli zake zote mpaka atakapopatikana spika mpya Februari mosi mwaka huu.

Add a comment

Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha Kamishina Msaidizi wa Polisi ACP. Justine Masejo leo Desemba 28.2021 ametoa taarifa juu ya tukio la mauaji ya marehemu Ruth Mmasi lililotokea mwishoni mwa wiki iliyopita mwaka huu 2021 huko maeneo ya Njiro katika halmashauri ya jiji la Arusha.

Add a comment

Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Dorothy Gwajima ameanzisha utekelezaji wa mfumo wa kukusanya maoni toka kwa watendaji wa taasisi anazosimamia kuanzia makao makuu ya wizara idara zote mbili ya afya na maendeleo ya jamii.

Add a comment


Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa wa Tanzania Bara 5704.

Add a comment

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Wakandarasi na Taasisi nyingine za sekta binafsi kuzingatia weledi, maadili na uaminifu katika majukumu yao ili wanapotekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo iweze kuleta tija kwenye maisha ya Watanzania.

Add a comment

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa amewataka madiwani kuipa kipaumbele zaidi ajenda ya ujenzi na uboreshaji wa miundo mbinu ya viwanja vya michezo katika halimashauri zao, akisistiza kuwa michezo ni kipaumbele kikubwa kwa jamii, kama ilivyo kwa vipaumbele vingine.

Add a comment

Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania na Kenya zimefanikiwa kuondoa jumla ya vikwazo 46 vya biashara kati ya 64 vilivyokuwepo.

Add a comment

Wizara ya afya nchini imefunga mashine nyingine kubwa na ya kisasa kwa ajili ya kupima kipimo cha haraka cha UVIKO-19 kwa wasafiri wanaoenda nchi za Falme za Kiarabu ikiwemo Dubai.

Add a comment

Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kwa kushirikiana na wataalam kutoka mradi wa USAID Tuhifadhi Maliasili wametoa mafunzo kwa takriban Waandishi wa Habari 25 kutoka vyombo mbalimbali nchini ambavyo ni TV, Redio, pamoja na Magazeti.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.