Star Tv
Mazishi ya Malkia Elizabeth II aliyekuwa kiongozi mkuu wa taifa la Uingereza ambaye alifariki Septemba 08, 2022 yatafanyika leo Septemba 19, 2022 jijini London nchini humo. Add a comment

Wakati visa vya maambukizi ya Monkeypox vikiendelea kushuka kwenye mataifa ya Ulaya pamoja na Marekani, wataalam wa sayansi wanasema kwamba sasa ni wakati wa kuweka kipaumbele cha upatikanaji wa chanjo dhidi ya maradhi hayo barani Afrika.

Add a comment

Malkia Elizabeth II, aliyehudumu muda mrefu zaidi nchini Uingereza, amefariki akiwa Balmoral na amefariki akiwa na umri wa miaka 96, baada ya kutawala kwa miaka 70 nchini humo.

Add a comment

Mfalme Charles wa III wa Uingereza anakwenda Scotland leo kuungana na ndugu, jamaa na waombolezaji wengine ili kuhudhuria ibada ya kumwombea mama yake, Malkia Elizabeth wa II aliyeaga dunia wiki iliyopita.

Add a comment

Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway anayeshughulikia masuala ya Ushirikiano wa Maendeleo ya Kimataifa na nchi za Nordic, Mhe. Anne Beathe Tvinnereim amewasili nchini leo kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia tarehe 6 - 8 Septemba 2022 na kupokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.