Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameamuru raia wote ambao bado wanaishi katika maeneo ya mashariki mwa mkoa wa Donetsk chini ya udhibiti wa Ukraine kuhama kutokana na kuongezeka kwa mapigano.
Add a commentKifo cha mhamiaji aliyeshambuliwa mchana kweupe nchini Italia kimezua hasira.
Add a commentRais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema taifa lake linahitaji silaha nyingi zaidi zitakazowasaidia kupambana na Urusi.
Add a commentKaimu rais wa Sri Lanka Ranil Wickremesinghe ametangaza sheria ya hali ya hatari
Add a commentKansela wa Ujerumani Olaf Scholz amesema hawawezi kumruhusu Putin kushinda vita.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.