Star Tv

Waziri Mkuu wa Uingereza Liz Truss amemfuta kazi waziri wake wa fedha, Kwasi Kwarteng, muda mfupi kabla ya kiongozi huyo kupanga kuachana na hatua za kiuchumi katika jitihada za kujinusuru na misukosuko ya kisiasa inayoikabili nchi hiyo.

Add a comment

Ubalozi wa Uingereza na Taasisi ya Mercy Corps pamoja na Chuo kikuu cha Dar es salaam kimetoa mafunzo ya namna gani ya kukabiliana na majanga mbalimbali yanayotokea katika jamii na namna ya kukabilina nayo ikiwa ni pamoja na mawasiliano pale dharura inapotokea.

Add a comment

Rais wa Marekani Joe Biden amesema hatua ya Rais wa Urusi Vladimir Putin la kutumia silaha za nyuklia linatishia kuleta hatari kubwa kama hiyo tangu Mgogoro wa Kombora la Cuba, akiongeza kuwa Washington ilikuwa "inajaribu kubaini" njia ya Putin ya kujiondoa.

Add a comment

Rais wa Marekani Joe Biden amesema hatua ya Rais wa Urusi Vladimir Putin la kutumia silaha za nyuklia linatishia kuleta hatari kubwa kama hiyo tangu Mgogoro wa Kombora la Cuba, akiongeza kuwa Washington ilikuwa "inajaribu kubaini" njia ya Putin ya kujiondoa.

Add a comment

Kiongozi mkuu wa Iran amezilaumu Marekani na Israel kwa kuchochea maandamano yaliyoenea nchini humo kufuatia kifo cha mwanamke mmoja aliyekuwa chini ya ulinzi wa polisi.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.