Waziri Mkuu wa Uingereza Liz Truss amemfuta kazi waziri wake wa fedha, Kwasi Kwarteng, muda mfupi kabla ya kiongozi huyo kupanga kuachana na hatua za kiuchumi katika jitihada za kujinusuru na misukosuko ya kisiasa inayoikabili nchi hiyo.
Add a commentUbalozi wa Uingereza na Taasisi ya Mercy Corps pamoja na Chuo kikuu cha Dar es salaam kimetoa mafunzo ya namna gani ya kukabiliana na majanga mbalimbali yanayotokea katika jamii na namna ya kukabilina nayo ikiwa ni pamoja na mawasiliano pale dharura inapotokea.
Add a commentRais wa Marekani Joe Biden amesema hatua ya Rais wa Urusi Vladimir Putin la kutumia silaha za nyuklia linatishia kuleta hatari kubwa kama hiyo tangu Mgogoro wa Kombora la Cuba, akiongeza kuwa Washington ilikuwa "inajaribu kubaini" njia ya Putin ya kujiondoa.
Add a commentRais wa Marekani Joe Biden amesema hatua ya Rais wa Urusi Vladimir Putin la kutumia silaha za nyuklia linatishia kuleta hatari kubwa kama hiyo tangu Mgogoro wa Kombora la Cuba, akiongeza kuwa Washington ilikuwa "inajaribu kubaini" njia ya Putin ya kujiondoa.
Add a commentKiongozi mkuu wa Iran amezilaumu Marekani na Israel kwa kuchochea maandamano yaliyoenea nchini humo kufuatia kifo cha mwanamke mmoja aliyekuwa chini ya ulinzi wa polisi.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.