Star Tv

Wanafunzi sita wa sekondari nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo wamepigwa marufuku kuhudhuria shule yeyote katika taifa hilo baada ya video ya ngono waliyoshiriki kusambaa mtandaoni.

Add a comment

Kikundi cha waasi cha eneo la Tigray, Ethiopia kimesema kuwa watu 150 wamekufa kutokana na njaa na kukosekana kwa misaada ya kibinadamu kunafanya hali kuwa mbaya zaidi.

Add a comment

Watafiti wanachunguza aina mpya ya virusi vya corona nchini Afrika Kusini, Ambapo Virusi hivyo aina ya C.1.2 huzaana mara mbili zaidi lakini havijatajwa kuwa vyenye kutia wasiwasi.

Add a comment

Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma ameshutumu mahakama kwa kutoamini ripoti ya kitabibu na madaktari wa jeshi na amekataa kufanyiwa uchunguzi na daktari aliyechaguliwa na mamlaka ya mashtaka.

Add a comment

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka tena kusitishwa mapigano mara moja katika eneo la Ethiopia la Tigray, ambapo vikosi vya serikali na wapiganaji waasi wamekuwa katika mizozo tangu Novemba mwaka jana.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.