Star Tv

Mwanamuziki maarufu Kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, Delcato Idengo, amekamatwa na polisi kwa baada ya kushutumiwa kuhamasisha ghasia dhidi ya vikosi vya usalama katika eneo la kaskazini mashabiki.

Add a comment

Wanafunzi zaidi waliokua wametekwa kaskazini mwa Nigeria wameachiwa huru baada ya kikombozi kilipwa.

Add a comment

Mahakama nchini Rwanda imemkuta na hatia ya ugaidi Paul Rusesabagina katika kesi inayodaiwa na wafuasi wake kuwa imechochewa kisiasa.

Add a comment

Polisi katika jimbo la Nigeria la Lagos wamemtia nguvuni mwanaume mmoja kwa madai ya kuyaondoa matiti ya binti yake mwenye umri wa miaka minane kwa kutumia jiwe la moto.

Add a comment

Zimbabwe imewazuia wafanyakazi wa umma ambao hawajanjwa kwenda kazini.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.