Mwalimu mmoja wa shule ya msingi ya Gitega nchini Burundi yuko mikononi mwa polisi kwa shutuma za kuwatesa watoto wa shule anaowafundisha.
Add a comment
Wafuasi wa Mhubiri wa Nigeria Temitope Balogun Joshua, maarufu kama TB Joshua wamekusanyinka katika makao makuu ya kanisa la Synagogue Church of All Nations (SCOAN) mjini Lagos kuomboleza kifo chake.
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi amesema hali sio nzuri lakini ipo katika udhibiti baada ya kuripuka kwa volcano katika eneo Goma huko mashariki mwa taifa hilo.
Add a commentKiongozi wa kundi la wanamgambo wa Boko Haram nchini Nigeria Abubakar Shekau, amejiua mwenyewe, wanamgambo wa kundi hasimu wamesema katika sauti iliyorekodiwa.
Add a commentKiongozi wa zamani wa Baraza la jeshi nchini Mali Kanali Assimi Goïta amejitangaza kuwa rais wa mpito baada ya kuwavua madaraka rais wa mpito na Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.