Kiongozi wa serikali ya Libya inayotambuliwa na Umoja wa Mataifa Fayez al-Sarraj ameapa kutorejea katika meza ya mazungumzo na kiongozi wa vikosi vya upinzani Khalifa Haftar kwa kuendeleza mashambulizi licha ya taifa hilo kuendelea kukabiliana na janga la Corona.
Add a commentWatu kadhaa wamepoteza Maisha katika machafuko yaliyoibuka wakati wa kura ya maoni ya Katiba na uchaguzi wa wabunge yaliyofanyika Jumapili Machi 22,2020 huku wengine wakijeruhiwa nchini Guinea.
Add a commentWaziri Mkuu wa Sudan, Abdullah Hamdok amenusurika kuuawa baada ya msafara wake kulengwa kwenye mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum.
Add a commentKiongozi wa zamani wa kundi la waasi katika Nchi ya jamhuri ya kidemokrasi ya Congo Germain Katanga aliyekuwa amehukumiwa kifungo cha miaka 12 katika mahakama ya kimataifa ICC, amechiliwa huru.
Add a commentKirusi cha corona chazidi kusambaa duniani kwa kutia mguu Magharibi mwa Afrika ambapo mtu wa kwanza aliye na kirusi cha corona katika eneo la chini ya jangwa la Sahara Magharibi mwa Afrika amegunduliwa nchini Nigeria.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.