Star Tv

Kiongozi wa serikali ya Libya inayotambuliwa na Umoja wa Mataifa Fayez al-Sarraj ameapa kutorejea katika meza ya mazungumzo na kiongozi wa vikosi vya upinzani Khalifa Haftar kwa kuendeleza mashambulizi licha ya taifa hilo kuendelea kukabiliana na janga la Corona.

Add a comment

Watu kadhaa wamepoteza Maisha katika machafuko yaliyoibuka wakati wa kura ya maoni ya Katiba na uchaguzi wa wabunge yaliyofanyika Jumapili Machi 22,2020 huku wengine wakijeruhiwa nchini Guinea.

Add a comment

Waziri Mkuu wa Sudan, Abdullah Hamdok amenusurika kuuawa baada ya msafara wake kulengwa kwenye mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum.

Add a comment

Kiongozi wa zamani wa kundi la waasi katika Nchi ya jamhuri ya kidemokrasi ya Congo Germain Katanga aliyekuwa amehukumiwa kifungo cha miaka 12 katika mahakama ya kimataifa ICC, amechiliwa huru.

Add a comment

Kirusi cha corona chazidi kusambaa duniani kwa kutia mguu Magharibi mwa Afrika ambapo mtu wa kwanza aliye na kirusi cha corona katika eneo la chini ya jangwa la Sahara Magharibi mwa Afrika amegunduliwa nchini Nigeria.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.