Star Tv

Maafisa wa usalama nchini Afrika Kusini hapo jana walikabiliana na waporaji kwa kutumia magurunedi na risasi za mpira katika juhudi za kutawanya makundi yaliokuwa yakilenga biashara zinazomilikiwa na raia wa kigeni nchini humo katika eneo la katikati mwa mji wa Johannesburg.

Add a comment

Maduka ya wafanyabiashara wa Afrika Kusini nchini Nigeria yalivamiwa jana ikiwa ni hatua ya kujibu, mashambulizi ya hivi karibuni katika taifa hilo la Kusini mwa Afrika kufuatia wimbi jipya la chuki dhidi ya wageni.

Add a comment

Wizara ya mambo ya ndani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imethibitisha taarifa ya kuwepo kwa kisa cha kwanza cha ugonjwa wa Ebola, siku ya Jumapili, katika mji ulio mashariki mwa nchi hiyo wa Goma wenye takribani wakazi milioni 1.

Maaskofu wa kanisa Katoliki nchini Msumbiji wameishambulia serikali kutokana na kile walichosema ni kushindwa kwa serikali hiyo kuzuwia wapiganaji wa itikadi kali ya Kiislamu kuvuruga eneo la kaskazini mwa nchi hiyo, wakidai mamia ya raia wamepoteza maisha.

Add a comment

Aliyekuwa rais wa Sudan Omar al-Bashir alionekana hadharani jana Jumapili, kwa mara ya kwanza tangu kupinduliwa na jeshi Aprili 11.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.