Star Tv

Serikali ya DRC yatangaza masharti mapya wakati wa mazishi nchini humo.

Add a comment

Msemaji wa serikali na pia Waziri wa Habari wa Sudani Kusini Michael Makuei amesema kuwa mawaziri kumi wa serikali ya nchi hiyo wameambukizwa virusi vya corona.

Add a comment

Mpaka wa Tanzania na Zambia umefungwa leo kwa muda kutokana na amri aliyoitoa rais wa nchi hiyo Edgar Lungu.

Add a comment

Hatua iliyotangazwa wiki iliyopita na Ethiopia ya kuanza kwa zoezi la kujaza bwawa kubwa la kuzalisha umeme la Renaissance kwenye Mto Nile linaendelea kuzua mvutano na nchi jirani zilizo na mto huo.

Add a comment

Biashara nyingi zilizofunguliwa wiki iliyopita zimefungwa tena tangu mwishoni mwa wiki hii iliyopita katika maeneo kadhaa nchini Algeria, kwa sababu ya kutofuata kanuni zilizowekwa.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.