Serikali ya DRC yatangaza masharti mapya wakati wa mazishi nchini humo.
Add a commentMsemaji wa serikali na pia Waziri wa Habari wa Sudani Kusini Michael Makuei amesema kuwa mawaziri kumi wa serikali ya nchi hiyo wameambukizwa virusi vya corona.
Add a commentMpaka wa Tanzania na Zambia umefungwa leo kwa muda kutokana na amri aliyoitoa rais wa nchi hiyo Edgar Lungu.
Add a commentHatua iliyotangazwa wiki iliyopita na Ethiopia ya kuanza kwa zoezi la kujaza bwawa kubwa la kuzalisha umeme la Renaissance kwenye Mto Nile linaendelea kuzua mvutano na nchi jirani zilizo na mto huo.
Add a commentBiashara nyingi zilizofunguliwa wiki iliyopita zimefungwa tena tangu mwishoni mwa wiki hii iliyopita katika maeneo kadhaa nchini Algeria, kwa sababu ya kutofuata kanuni zilizowekwa.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.