Baada ya miezi kadhaa ya maandamano mabaya dhidi ya muhula wa 3 wa rais Alpha Condé, wananchi wa Guinea walipiga kura kumchagua kiongozi wao mpya.
Add a commentWaandamanaji dhidi ya ghasia za polisi katika mji mkuu wa Nigeria Abuja wameshambuliwa na wanaume wasiojulikana waliokuwa wamebeba mapanga.
Add a commentWaziri wa ulinzi wa Afrika Kusini, Bi Mapisa-Nqakula amekatwa mshahara wake na pesa hizo zitaelekezwa katika mfuko wa kukabiliana na virusi vya corona nchini humo.
Add a commentMateka mwingine nchini Mali, mwanamke wa Uswisi, ameuawa na watekaji nyara waliokuwa wakimshikilia.
Add a commentMapigano yametokea kati ya kundi la wanamgambo wa Maï-Maï na vikosi vya jeshi la serikali, FARDC, katikati mwa mji mkuu wa Katanga, ya zamani Kusini Mashariki mwa DRC.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.