Star Tv

Mamlaka ya mapato nchini Kenya (KRA) inatarajiwa kuzifungia jumla ya nambari ya siri 66,269 za kulipa kodi ambazo hazitumiki kufikia Alhamisi wiki hii, ripoti za vyombo vya habari nchi humo zimesema.

Add a comment

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi nchini Uganda ambaye aliwahi kuwa Mkuu wa Jeshi la Uganda Jenerali Katumba Wamala, amepigwa risasi na kujeruhiwa na watu wasiojulikana karibu na nyumba yake katika mji mkuu Kampala.

Add a comment

Kiongozi wa upinzani Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine, amemtaka jaji Mkuu kujiondoa katika kusikiliza shauri la kupinga kuchaguliwa tena Rais Yoweri Museveni.

Add a comment

Kiongozi wa Upinzani nchini Kenya Raila Odinga, amesema hali yake ni nzuri na anafuata ushauri wa madaktari kwa kupumzika.

Add a comment

Mahakama ya kijeshi jijini Kampala Uganda kwa mara ya pili imekataa rufaa ya wafuasi 36 wa chama cha upinzani cha National Unity kinachoongozwa na Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine.

Add a comment

Mkuu wa jeshi la UPDF Jenerali David Muhoozi ameomba msamaha kwa waandishi wa habari kufuatia tukio la jana wakati polisi wa jeshi la UPDF walipowatandika wandishi habari.

Add a comment

Jopo la majaji tisa wa Mahakama ya juu nchini Uganda wametangaza kuwa tarehe 18 Machi, 2021 ndiyo watatoa hukumu ya kesi iliyowasilishwa na Robert Kyagulanyi kupinga matokeo ya uchaguzi wa Rais yaliyompatia bwana Museveni ushindi.

Add a comment

Mahakama ya Rwanda hii leo imeaanza kusikiliza kesi dhidi ya Paul Rusesabagina na wengine 20 ambao wanakabiliwa na mashtaka ya ugaidi.

Add a comment

Mawakili wa mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda Robert Kyagulanyi, maarufu Bobi Wine wamewasilisha ushahidi zaidi katika mahakama ya juu zaidi nchini humo dhidi ya matokeo ya uchaguzi uliomrejesha tena madarakani Rais yoweri Museveni.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.