Mamia kwa maelfu ya wakaazi wa Hong Kong wamefanya maandamano mjini humo jana kuupinga mpango wa serikali utakaoruhusu watuhumiwa kupelekwa China bara kukabiliwa na mashtaka.
Add a commentBrussels:Viongozi wa Ulaya wanafanya kikao cha faragha leo kujadili kuhusu nyadhifa kuu za Umoja wa Ulaya, wakati mirengo pinzani katika bunge jipya la umoja huo ikijaribu kuunda mrengo wa siasa za wastani wenye viti vingi.
Add a commentLeo waislamu katika nchi nyingi duniani wanaadhimisha siku kuu ya Eid el-Fitr, baada ya mfungo wa mwezi mzima wa Ramadhan ikiwa ni nguzo ya nne ya uislam.
Add a commentFamilia za wahanga wa mauaji ya Tiananmen nchini China wamefanya kumbukumbu ya miaka 30 tangu ukandamizaji huo wa vuguvugu la demokrasia ulipofanyika.
Add a commentKwa mujibu wa baraza la katiba nchini Algeria, uchaguzi wa rais uliopangwa kuitishwa mwezi wa Julai mwaka huu, utabidi uahirishwe.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.