Mashambulizi ya anga yaliyofanywa dhidi ya eneo linalolidhibitiwa na wapiganaji wa jihadi la Kaskazini-Magharibi mwa Syria yameua kiasi raia 10.
Add a commentRaia nchini Ufaransa na Ujerumani wanapiga kura leo katika siku ya mwisho ya uchaguzi wa Bunge la Ulaya ambapo vyama vinavyopinga Umoja wa Ulaya pamoja na uhamiaji vinatumai kutoa changamoto kubwa.
Add a commentKansela wa Austria Sebastian Kurz aliyeondolewa madarakani jana Jumatatu kupitia kura ya bunge ya kutokuwa na imani naye na hivyo kupisha njia kwa ajili ya uchaguzi mpya, ameapa kwamba chama chake kilicho na siasa za wastani za mrengo wa kulia kitarejea katika uongozi kikiwa na nguvu zaidi.
Add a commentRais wa zamani wa Argentina Cristina Fernandez de Kirchner amefunguliwa mashitaka ya rushwa, siku tatu baada ya kutangaza kuwania nafasi ya makamu wa rais katika uchaguzi wa Oktoba.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.