Baraza la Seneti la Marekani limemuondolea hatia Rais Donald Trump na kuhitimisha mchakato wa mashtaka dhidi yake, ambapo wabunge wa chama cha Democratic walimtuhumu kutumia vibaya madaraka yake.
Add a commentMaafisa wa serikali ya China wamethibitisha kuongezeka kwa idadi ya watu wanaopoteza Maisha kutokana na homa inayosababishwa na virusi vya corona.
Add a commentBaraza la Senate la Marekani, linalodhibitiwa na Warepublican, limepinga jaribio la pili la chama cha Democratic kutaka nyaraka na ushahidi katika mchakato wa kumuondoa Rais Donald Trump madarakani.
Add a commentMamlaka za China zimesema kuwa watu 106 wamepoteza maisha kutokana na virusi vya Corona na zaidi ya watu 4000 wameambukizwa, wakati huohuo nchi hiyo imeweka katazo la kusafiri ili kuzuia maambukizi zaidi.
Add a commentWaziri mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa rais Vladmir Putin leo.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.