Star Tv

Baraza la Seneti la Marekani limemuondolea hatia Rais Donald Trump na kuhitimisha mchakato wa mashtaka dhidi yake, ambapo wabunge wa chama cha Democratic walimtuhumu kutumia vibaya madaraka yake.

Add a comment

Maafisa wa serikali ya China wamethibitisha kuongezeka kwa idadi ya watu wanaopoteza Maisha kutokana na homa inayosababishwa na virusi vya corona.

Add a comment

Baraza la Senate la Marekani, linalodhibitiwa na Warepublican, limepinga jaribio la pili la chama cha Democratic kutaka nyaraka na ushahidi katika mchakato wa kumuondoa Rais Donald Trump madarakani.

Add a comment

Mamlaka za China zimesema kuwa watu 106 wamepoteza maisha kutokana na virusi vya Corona na zaidi ya watu 4000 wameambukizwa, wakati huohuo nchi hiyo imeweka katazo la kusafiri ili kuzuia maambukizi zaidi.

Add a comment

Waziri mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa rais Vladmir Putin leo.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.