Wapiga kura Zimbabwe wanaelekea debeni katika uchaguzi wa kwanza pasi kuwepo kiongozi wa muda mrefu Robert Mugabe miongoni mwa wagombea. Kiongozi huyo muanzilishi, Mugabe alitimuliwa katika mapinduzi mwaka jana baada ya kuwa madarakani kwa takriban miongo minne.
Add a commentZaidi ya watu 86 wameuawa Katikati mwa nchi ya Nigeria katika muendelezo wa mgogoro kati ya wafugaji na wakulima.
Add a commentMsichana raia wa Sudan Noura Hussein ambaye alihukumiwa kifo kwa kumuua mume wake kutokana ya madai kuwa alimbaka amekata rufaa.
Add a commentWakati wa kumuomboleza mwanaharakati aliyepigana dhidi ya ubaguzi wa rangi Afrika Kusini Winnie Mandela, siku moja, kundi la waumini walioonekana kulewa walizua kionja.
Add a commentNyumba kadhaa zimelengwa katika ubomoaji nchini Rwanda wakati maafisa wanatafuta makaburi ya halaiki mwezi mmoja baada ya makaburi mengine kugunduliwa ya watu waliouawa katika mauaji ya kimbari mnamo mwaka 94 huko Kabuga nje ya mji mkuu Kigali.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.