Star Tv

Wapiga kura Zimbabwe wanaelekea debeni katika uchaguzi wa kwanza pasi kuwepo kiongozi wa muda mrefu Robert Mugabe miongoni mwa wagombea. Kiongozi huyo muanzilishi, Mugabe alitimuliwa katika mapinduzi mwaka jana baada ya kuwa madarakani kwa takriban miongo minne.

Add a comment

Zaidi ya watu 86 wameuawa Katikati mwa nchi ya Nigeria katika muendelezo wa mgogoro kati ya wafugaji na wakulima.

Add a comment

Msichana raia wa Sudan Noura Hussein ambaye alihukumiwa kifo kwa kumuua mume wake kutokana ya madai kuwa alimbaka amekata rufaa.

Add a comment

Wakati wa kumuomboleza mwanaharakati aliyepigana dhidi ya ubaguzi wa rangi Afrika Kusini Winnie Mandela, siku moja, kundi la waumini walioonekana kulewa walizua kionja.

Add a comment

Nyumba kadhaa zimelengwa katika ubomoaji nchini Rwanda wakati maafisa wanatafuta makaburi ya halaiki mwezi mmoja baada ya makaburi mengine kugunduliwa ya watu waliouawa katika mauaji ya kimbari mnamo mwaka 94 huko Kabuga nje ya mji mkuu Kigali.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.