Star Tv

Makundi ya upinzani nchini Sudan leo yameanza kampeini ya kitaifa ya kutotii sheria baada ya viongozi wake wawili kuripotiwa kukamatwa. Kupitia ujumbe uliotumwa katika mtandao wa Twitter na muungano wa wataalam wa Sudan-SPA- kundi kuu katika upinzani, mgomo huo ni njia ya amani ya upinzani.

Kundi hilo la SPA limesema kuwa ni maafisa wa matibabu na afya pekee ambao hawapaswi kushiriki katika mgomo huo kuhakikisha kuwa wagonjwa na majeruhi wanapata huduma bora. Mgomo huo unajiri siku moja baada ya viongozi wawili wa upinzani kuripotiwa kukamatwa saa chache baada ya kukutana na waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed aliye ziarani nchini humo katika juhudi za kutatua mzozo huo.

CHANZO: Idhaa ya Kiswahili DW

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.