Star Tv

Rais wa Marekani Donald Trump amesema ni heshima kuwa Marekani ina idadi kubwa ya maambukizi ya virusi vya corona duniani.

Add a comment

Rais wa Marekani, Donald Trump ametangaza usitishwaji wa mchango wa Marekani kwa Shirika la Afya Duniani (WHO) utaanza kutekelezwa mara moja ndani ya siku thelathini, ikiwa shirika hilo halitafanya maboresho makubwa ambayo aliyapendekeza.

Add a comment

Serikali ya China imesema inajiunga na ubunifu wa ushirikiano wa kimataifa wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa ajili ya kukabiliana na virusi hatari vya Corona.

Add a comment

Wizara ya Afya nchini China imeripoti uwepo wa visa vipya 17 vya Corona, Visa hivyo ni kutoka miji ya Wuhan na Jilin.

Add a comment

Shirika la Afya Duniani limesihi watu kutoweka imani zao kwa dawa za mitishamba zinazotengenezwa na wenyeji kwa misingi ya kudai zina uwezo wa  kukabiliana na virusi vya corona.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.