Star Tv

Wizara ya Afya nchini China imeripoti uwepo wa visa vipya 17 vya Corona, Visa hivyo ni kutoka miji ya Wuhan na Jilin.

Mji wa Jilin umewekwa katika zuio la kutotoka nje baada ya visa 10 katika visa hivyo 17 ambavyo vimeripotiwa kutokea ndani ya mji huo na mamlaka bado hazijatangaza kuwa mji huo utakuwa kwenye katazo hilo mpaka lini.

Hofu inatanda miongoni mwa watu wakihofia kuwa yawezekana ugonjwa huu ukarudi tena kama endapo hatua stahiki hazitachukuliwa za kudhibiti maambukizi mapya yasiendelee kutokea.

Mpaka sasa China ina jumla ya visa 82,918.780 vya ugonjwa huo, wagonjwa 78,144 wameripotiwa kupona na vifo vilivyotokea ni 4600.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.