Maafisa waandamizi katika ikulu ya White House wamesema mswada wa Rais Joe Biden unaolenga kutoa uraia kwa wahamiaji Milioni 11 wasio na vibali nchini Marekani, utawasilishwa bungeni kwa ajili ya majadiliano.
Add a commentUtawala wa kijeshi nchini Myanmar umeahidi utaitisha uchaguzi na kukabidhi madaraka.
Add a commentRais wa Marekani Joe Biden amesema hatua ya Baraza la Seneti ya kumuondolea mashtaka rais wa zamani Donald Trump ya kuchochea vurugu kwenye majengo ya bunge ni jambo linalokumbusha kuwa demokrasia imedhoofika.
Add a commentPolisi Mjini New York wameeleza kuwa Baba wa mwanamuziki wa miondoko ya kufokafoka, Nicki Minaj, 64, ameaga dunia baada ya kugongwa na gari kisha dereva kukimbia mjini New York.
Add a commentChina imekataa kutoa data muhimu kwa timu ya Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) inayochunguza asili ya Covid-19, mmoja wa wanachama wake alisema ni utaratibu wa kawaida.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.