Star Tv

Rais wa Tanzania Samia Suluhi Hassan ameipongeza klabu ya Simba kwa kufanikiwa kufuzu hatua ya makundi ya klabu bingwa Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya Primeiro de Agosto ya Angola.

Rais Samia ametoa pongezi hizo kupitia ukurasa wake wa twitter pamoja na kuwatakia kila la heri katika michuano inayofuata.

Mchezo huo uliochezwa katika uwanja wa taifa na umeiibua timu ya simba kuwa mshindi kwa bao lililofungwa na Moses Phiri.

Aidha katika mchezo wa kwanza Angola, Simba iliibuka na ushindi wa mabao 3-1, na sasa imefuzu kwa jumla ya mabao 4-1.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.