Star Tv

Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro mkoani Arusha imesema itachukua miaka mingi kwa mchanga unaohama katika eneo la Olduvai kutoka nje ya hifadhi licha ya kwamba umekuwa ukisogea kila wakati.

Hifadhi ya ngorongoro iliingia kwenye maajabu nane ya dunia katika mwaka jana na hii ni kutokana na kuwepo kwa vivutio vya kipekee licha ya wanyama wa aina mbalimbali wanaopatikana katika hifadhi hii kipo kivutio kingine cha kipekee cha mchanga unaohama kila wakati na hapa hofu inatolewa dhidi ya mchanga huo kutoweka.

Naibu Mhifadhi mkuu wa Ngorongoro ,Maurus Msuha amesema mamlaka hiyo ipo kwenye mchakato wa kuingia kwenye orodha ya maeneo yaliyohifadhiwa ambayo yatatambuliwa na UNESCO kujitangaza zaidi kimataifa.

Hifadhi ya Ngorongoro ni kati ya hifadhi zilizopo Afrika ambazo unaweza kuwaona Faru weusi na wenye umri mkubwa wa unaofikia hadi miaka 52.

Picha na mtandao.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.