Star Tv

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeuambia Muungano wa Jeshi linaloongozwa na Saudi Arabia nchini Yemen ni lazima kuruhusu misaada ya kibinadamu kupelekwa tena nchini humo.

Add a comment

Rais wa Marekani Donald Trump ametoa onyo kali kwa kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong un katika hotuba ndani ya bunge la Korea Kusini.

Add a comment

Taharuki imewakumba wakaazi wa mji mkuu wa India, Delhi, baada ya wakaazi wa mji huo kuamka na kukuta, ukungu mzito wa rangi ya kijivujivu, ukikumba mji huo mapema siku ya Jumanne.

Add a comment

Marekani inakaribia kutengwa kutokana na msimamo wake kuhusu makubaliano ya tabia nchi baada ya Syria kusema kuwa iko tayari kuunga mkono makubaliano hayo.

Add a comment

Watu wenye silaha wamevamia kituo kimoja cha Runinga mjini Kabul Afghanistan na kumuuwa mtu mmoja.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.