Star Tv

Mpenzi wa mwanariadha wa Kenya Agnes Tirop, amefikishwa mahakamani kama mshukiwa wa mauaji ya mwanariadha wa Kenya Agnes Tirop.

Hakimu amesema atawaruhusu polisi kumzuia Ibrahim Rotich kwa siku 20, wakati ambao pia atafanyiwa uchunguzi wa kiakili kubaini ikiwa anaweza kufunguliwa mashtaka.

Bwana Rotich alikamatwa wiki iliyopita mjini Mombasa Pwani ya Kenya na polisi wamearifu kuwa alikuwa akijaribu kutoroka nchini.

Agnes Tirop alipatikana akiwa ameuawa kwa kuchomwa kisu nyumbani kwake magharibi mwa Kenya.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.