Star Tv

Mpango wa idara ya afya wa kutoa elimu ya afya ya uzazi na matumizi ya uzazi wa mpango unatajwa kusaidia kupunguza mimba za utotoni na vifo vitokanavyo na utoaji wa mimba usio salama kwa makundi ya vijana katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya.

Mimba za utotoni na vifo vitokanavyo na utoaji wa mimba usio salama, ni moja ya changamoto inayatajwa kuwakabili vijana wengi wakike katika Halmashauri ya ya Jiji la Mbeya hayo yakibainishwa na mratibu wa afya ya uzazi wa mama na mtoto idara ya afya Jiji la Mbeya Akwina Mtweve; 'Amesema kutokana na elimu wanayoitoa mara kwa mara imesaidia kupunguza hali hiyo. Huku Shirika la Jhpiego kupitia mradi wake wa 'The challenge initiative TCI',kwa kushirikiana na serikali ndiyo wanatekeleza mpango huo wa kutoe elimu kwa makundi mbalimbali, akifafanua mratibu wa TCI mkoa wa Mbeya bwana, Waziri Njau. Huku lengo la uongozi wa Jiji la Mbeya ni kuona mimba za utotoni na vifo vitokanavyo na utoaji wa mimba usio salama vinakomeshwa.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.