Star Tv

Baadhi ya wakazi wa Halmashauri ya jiji la Dodoma wamewataka wakala wa vipimo WMA mkoa wa Dodoma kuendelea kufanya ukaguzi wa mara kwa mara wa mizani ya wafanyabiashara  ili kuondoa   tabia inayofanywa na baadhi ya wafanyabiashara ambao sio waaminifu ya kuwaibia wateja wao kupitia mizani

Wizi huo hufanywa kwa kuwekewa mawe katika moja  ya vyuma vya mizani na kusababisha mnunuzi kupata kilo hafifu tofauti na thamani ya fedha alizo toa

baadhi ya wanunuzi wanaofika kupata mahitaji katika maduka  na magulio wamesema  pamoja na kuwepo na kuanza kwa maazimisho ya wiki ya vipimo duniani zoezi hili lifanywe mara kwa mara ili kudhibiti  kitendo hicho  kwa wafanyabiashara wasio waaminifu. Kaimu meneja  wakala wa vipimo mkoa wa Dodomaa  Joachim Dotto amesema lengo la ukaguzi huo ni kumlinda mlaji ambapo litakuwa endelevu  kwa kushirikiana na Jeshi la polisi.

.  

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.