Star Tv

Soko maarufu la mitumba jijini Mwanza lawaka moto na kukusanya umati wa watu wakishuhudia vitu vikiungua.

Soko hili maarufu kwa kuuza mitumba jijini Mwanza limewaka moto leo. Akiongea Mwenyekiti wa soko hilo ndugu Mansoor Ahmed ameiambia Star TV Habari kuwa moto huo ulianza majira ya  alfajiri na ambapo chanzo cha moto bado hakijajulikana, huku mali  zilizoteketea mpaka sasa thamani yake hazijajulikana pia.

Nae kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza Jonathan Shana, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo  huku wananchi na jeshi la polisi wakishirikiana kuudhibiti ili usilete madhara zaidi. 

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.