Star Tv

Mgodi wa ACACIA umesaini mkataba na Halmashauri ya Msalala na Nyangh’wale kuanza mradi mkubwa wa maji kutoka Ziwa Victoria utakaogharimu shilingi bilioni 4.5 na kunufaisha vijiji 14.

Wakizungumza katika Siku ya Familia iliyoandaliwa na Mgodi huo Mkuu wa Wilaya ya Kahama Fadhili Nkurlu amesema tatizo la Maji ni Changamoto ya nchi nzima na mradi huu utasaidia kwa kiasi kikubwa.

Mradi huo unasimamiwa na Mwauwasa utawanufaisha wakazi laki na nusu

Miradi ambayo Mgodi iliahidi kufanya kabla ya kupunguza uzalishaji itaendelea kama kawaida.

Miradi mingine mikubwa inayotekelezwa na Acacia baadhi yake ni ujenzi wa majengo awamu ya pili kukamilisha Hospitali ya Bugarama uliogharimu bilioni 1.1 na milioni 200 zimetumika kujenga uzio katika Shule ya Msingi Kakola A na B.

Picha na mtandao.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.