Star Tv

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amepokea ujumbe maalumu kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Uganda Yoweri Kaguta Museveni uliyowasilishwa na Waziri wa mambo ya nje wanchi hiyo mjumbe maalum Sam Kutesa ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda.

Akizungumza mara baada ya kuwasilisha ujumbe huo ikulu ya Dar es Salaam waziri huyo wa Uganda Sam Kutesa amesema Rais Museveni amemtumia Rais Magufuli na Watanzania wote salamu za heri ya mwaka mpya na pia wamezungumzia masuala yahusuyo uhusiano na ushirikiano kati ya Tanzania na Uganda.

“Licha ya salamu za mwaka mpya lakini Tumezungumza namna nchi mbili hizo zitakavyokuza zaidi uhusiano katika maeneo mbalimbali, kama miradi ya maendeleo ya ushirikiano ukiwemo mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Bandari ya Tanga hapa Tanzania”

Picha na mtandao.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.