Star Tv

Serikali imeshauriwa kutumia umeme wa nguvu za jua kwenye taasisi zake hasa hospitali na shule ili kuongeza ufanisi wa Huduma za afya na ufaulu kwenye sekta ya elimu nchini.

Mkurugenzi wa meza ya pamoja ya maafisa watendaji wakuu wa taasisi nchini CEO Round-table ametoa ushauri huo wakati akizindua mradi wa umeme wa nguvu za jua wa kampuni ya Mobisol.

Umeme wa nguvu za jua ni mojawapo ya nishati zinazotumiwa na wakazi nchini ambapo inatajwa kuwa endapo taasisi za Serikali kama hospital na vituo vya afya zitautumia umeme huo vitafanya kazi kwa ufanisi kutokana na kuwa na uhakika wa upatikanaji wake.

Picha na mtandao.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.