Star Tv

Serikali imetakiwa kuangalia upya mfumo wa stakabadhi ghalani kutokana na wanunuzi kuchelewa kufanya malipo tangu siku ya mnada.

Siku nne baada ya mnada wanatakiwa kulipa na kutoa mzigo wa Korosho ghalani ili kuingiza mzigo mwingine.

Wakulima na wajumbe wa bodi ya korosho ya Amcos ya kata ya kikongo kijiji cha kikongo wamemkatalia mnunuzi wa korosho aliyenunua siku ya mnada zikiwa daraja A katika kuchelewa kulipa na kutoa korosho huku akitaka kupima ubora wa korosho kwa mara tatu, ndipo wakulima wakapaza sauti zao kwa serikali.

Chama cha msingi cha Amcos kikongo tayari wameshaingiziwa fedha zao kupitia ankaunti ya Corecu huku wanachama wakiwa wameanza kusaini ili kupatiwa fedha zao.

Picha na mtandao

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.