Star Tv

Mkuu wa majeshi nchini Algeria ametaka rais wa nchi hiyo mwenye umri wa miaka 82, Abdelaziz Bouteflika atangazwe kuwa hana uwezo wa kuongoza nchi. Mkuu huyo wa majeshi Ahmed Gaid Salah amesema Bouteflika anaweza kuondolewa madarakani kwa mujibu wa katiba.

Algeria imekumbwa na maandamano makubwa kwa muda wa zaidi ya mwezi mmoja sasa, ya kumtaka rais huyo aondoke madarakani ili kufungua njia ya kuleta mabadiliko ya kidemokrasia katika mfumo wa kisiasa wa nchi hiyo. Mnadhimu huyo wa majeshi amesema ni lazima suluhisho lipatikane, la kuutatua mgogoro uliopo nchini humo ili kuyaitikia madai halali ya watu wa Algeria.

Chanzo: Idhaa ya Kiswahili DW

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.