Star Tv

Mahakama nchini Myanmar imemhukumu kiongozi aliyeondolewa madarakani Aung San Suu Kyi kifungo cha miaka minne zaidi, katika mfululizo wa kesi za hivi karibuni alizopatikana nazo.

Bi su Kyi alitiwa hatiani kwa kumiliki kwa njia haramu na kuagiza vifaa vya mawasiliano vya ‘walkie-talkie’ na kuvunja sheria za Covid-19.

Bi Suu Kyi pi alipatikana na hatia kwa mara ya kwanza mwezi Desemba, na kupunguziwa kifungo cha miaka miwili jela.

Amewekwa kizuizini tangu mapinduzi ya kijeshi mwezi Februari mwaka jana na anakabiliwa na mashtaka kadhaa, ambayo yote anayakanusha.Wamelaaniwa sana kuwa ni wadhalimu.

Inaaminika kuwa mashtaka ya Jumatatu yalitokana na wakati wanajeshi walipopekua nyumba yake siku ya mapinduzi na vikosi vinavyoongozwa na Jenerali Min Aung Hlaing, waliposema waligundua vifaa hivyo.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.