Star Tv

Korea Kaskazini imefanya jaribio la kombora jipya la masafa marefu linaloweza kupiga sehemu kubwa ya Japan, vyombo vya habari vya serikali vimesema.

Jaribio lililofanywa mwishoni mwa wiki lilishuhudia makombora yakisafiri hadi umbali wa km1,500 (930 maili),kulingana na KCNA.

Jaribio hilo halikiuki maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa - lakini yalisababisha vikwazo vikali kwa Korea Kaskazini hapo zamani.

Jaribio la kombora la baharini linatoa "umuhimu wa kimkakati wa kumiliki kigingi kingine ni katika kuhakikisha usalama wa nchi yetu na nguvu za kijeshi dhidi ya vikosi vyenye uhasama," KCNA ilisema.

Jeshi la Marekani limesema kuwa jaribio hilo lilionesha "Korea Kaskazini inaendelea kuzingatia kukuza programu yake ya kijeshi na vitisho ambavyo vinapeleka kwa majirani zake na jamii ya kimataifa".

Iliongeza kuwa inazingatia kwa dhati nia yake ya kutetea washirika wake Korea Kusini na Japan.

 #ChanzoBBCSwahili

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.