Star Tv

Rais wa Marekani Joe Biden amemhakikishia Rais wa Afghanistan Ashraf Ghani msaada wa kidiplomasia na kiutu wakati kundi la Taliban likiendelea kuiwekea shinikizo serikali inayoungwa mkono na Marekani huko Kabul.

Katika mazungumzo ya njia ya simu Biden na Ghani wamekubaliana kwamba mashambulizi ya sasa ya Kundi la Taliban yanapingana na harakati ya kudai kuunga mkono mazungumzo ya kutatua mgogoro wa eneo hilo.

Biden hapo jana Julai 23, ameidhinisha Dola Milioni100 katika kushughulikia suala la wakimbizi wa Afghanistan.

Fedha hizo pia zitawasaidia wale wanaoomba visa maalumu, ambapo karibu raia 20,000 wa Afghanistan walikuwa wakifanya kazi ya ukalimani kuisadia Marekani wakati wa vita na sasa wanahofia kuadhibiwa na Taliban.

#ChanzoDWSwahili

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.