Star Tv

Mapigano mapya yameibuka mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo katika jimbo la Kivu Kaskazini Mapema asubuhi ya leo Jumatano.

Vyanzo vya habari vinasema kuwa vikosi vya serikali vinapigana kuchukua tena vijiji katika eneo la Rutshuru, ambalo kwa sasa linadhibitiwa na waasi wa M23.

Mkazi wa mji wa mpakani wa Bunagana ameiambia BBC kwamba wamesikia milio ya silaha nzito kwa umbali.

M23 walitangaza usitishaji wa mapigano tarehe Aprili moja, ili kutoa fursa ya mazungumzo na serikali.

Viongozi wa kikanda walitarajiwa kukutana kwa ajili ya mazungumzo ya amani mwishoni mwa juma hili.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.