Star Tv

Mahakama ya kijeshi nchini Burkina Faso imemuhukumu rais wa zamani Blaise Compaore kifungo cha maisha gerezani kwa kuhusika katika mauaji ya mtangulizi wake Thomas Sankara mwaka 1987.

Compaore, ambaye yuko uhamishoni, amehukumiwa kifungo hicho bila kuwepo.

Mkuu wake wa usalama, Hyacinthe Kafando, pia amehukumiwa kifungo cha Maisha jela.

Bwana Sankara, mwanamapinduzi aliyekuwa na itikadi za Kimarxist, aliuawa kwa kupigwa risasi na kundi la watu wenye silaha katika mji mkuu, Ouagadougou mwaka 1987.

Baada ya mauji hayo Compaore alitawala kwa miaka 27 kabla ya kupinduliwa mwaka 2014.

#ChanzoBBC

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.