Star Tv

Rais wa zamani wa Mali Moussa Traoré amefariki dunia leo Jumanne Septemba 15,2020.

Chanzo kutoka familia yake kimeiambia Shirika la Habari la RFI Rais huyo wa zamani wa Mali amefariki ingawa hawakubainisha ugonjwa uliopeleka afariki.

Moussa Traoré, ambaye alizaliwa Septemba 25, 1936, alichukua hatamu ya uongozi wa nchi mwaka 1968 kabla ya kupinduliwa mwezi Machi 1991.

Rais Traoré alihukumiwa kifo, lakini mwaka 2020 Rais wa zamani Alpha Oumar Konaré alimsamehe.

Katika miaka ya hivi karibuni, Marehemu Traore amekuwa akisikilizwa sana miongoni mwa wanasiasa nchini Mali.

 

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.