Star Tv

Siku chache Baada ya CCM kushauri serikali kufuta tozo, pamoja na kelele za muda mrefu za Wananchi kuhusu tozo, Waziri wa Fedha na Mipango Dokta Mwigulu Nchemba ametangaza kufuta baadhi ya Tozo.

Tozo zilizofutwa ni pamoja na Miamala ya ndani ya Benki, Tozo ya kuhamisha Fedha kutoka Benki kwenda Mitandao ya simu, Miamala ya Benki Moja na nyingine na Miamala ya ATM isiyozidi Tsh. 30,000.

Vilevile Dkt. Nchemba amesema Serikali imepunguza kwa 10% - 50% Makato ya Miamala ya Simu na Miamala ya Benki kutegemea na makundi ya Miamala na Gharama zilizowekwa.

Aidha marekebisho hayo yataanza rasmi Tarehe ya kwanza ya mwezi Oktoba Mwaka huu wa 2022.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.