Star Tv

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imefungua awamu ya pili ya maombi ya udahili wa shahada ya kwanza kwa mwaka wa masomo 2022/2023.

Hayo yamebainishwa leo Agosti 24, 2022 na Katibu Mtendaji wa TCU, Profesa Charles Kihampa amesema idadi hiyo ni sawa na asilimia 70.72 ya waombaji wote ambao walituma maombi katika awamu ya kwanza ya udahili.

Awamu hiyo ya pili ya udahili itafungwa Septemba 6, 2022 na
kufunguliwa kwa dirisha hilo kunakwenda sambamba na kufungwa kwa awamu ya kwanza ya udahili inayoonyesha waombaji 75,163 wamepata nafasi.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.