Star Tv

Chama cha Mapinduzi CCM kimewataka wanachama wake kutambua kuwa bila kujiimarisha kiuchumi kitakuwa na wakati mgumu wa kujiendesha hasa katika kipindi hiki cha kuelekeza uchumi wa kati.

Amesema hayo katika kongamano la vijana mkoani Manyara ambapo Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM mkoani Manyara Paza Mwamlima ametumia fursa hiyo kueleza changamoto inayotakiwa kushughulikiwa na chama hicho ili kiweze kujiendesha bila kutetereka.

Katibu huyo amesema CCM bila kujiimarisha kiuchumu kupitia Jumuiya zake itakuwa vigumu kufikia malengo ya kuwa na uchumi imara. Aidha amewataka vijana kuwa mstari wa mbele kukemea vitendo viovu vinavyochangia kurudisha nyuma maendeleo ya chama.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.