Star Tv

Picha mbalimbali za matukio ya msiba wa aliyekuwa Makamu wa kwanza wa rais Zanzibar baada ya kuwasili katika viwanja vya Mnazi Mmoja ambapo maelfu wamejitokeza kuomboleza msiba huo uliotokea jana Februari 17,2021.

Viongozi mbalimbali ikiwemo marais wastaafu wa Zanzibar Dkt. Ali Mohammed Shein, Abeid Amani Karume na wengine wamehudhuria mazishi ya Maalim Seif Sharif Hamad

Kisiwani Pemba ambapo ndio ilikuwa ngome yake Kuu wakati wa uhai wake, punde tu baada ya taarifa za kifo chake kuenea hapo jana, baadhi ya maduka yamefungwa na shughuli nyingi za mji kusimama, hivyo kufanya mji huo kuzizima kwa saa kadhaa.

Ratiba ya mazishi inaonyesha kuwa, mwili wa marehemu utakwenda kupumzishwa kijijini kwao Mtambwe-Pemba.

#RIPMaalimSeifSharifHamad

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.